Skip to content
Scan a barcode
Scan
Paperback Ukarimu wa Maria [Swahili] Book

ISBN: 996664198X

ISBN13: 9789966641984

Ukarimu wa Maria [Swahili]

Wakati wa mapumziko uwanjani, Maria anagundua kuwa rafiki yake

Musa hana furaha. Musa amehuzunika na analia. Maria anamtuliza Musa

na kuhakikisha kuwa ameanza kutabasamu. Je, Musa alikuwa na matatizo

yepi? Maria anamsaidiaje?


Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo

zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza

ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha

uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi si tu za kuelimisha

na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo

yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.

Recommended

Format: Paperback

Temporarily Unavailable

We receive fewer than 1 copy every 6 months.

Save to List

Related Subjects

Fiction Teen & Young Adult

Customer Reviews

0 rating
Copyright © 2026 Thriftbooks.com Terms of Use | Privacy Policy | Do Not Sell/Share My Personal Information | Cookie Policy | Cookie Preferences | Accessibility Statement
ThriftBooks® and the ThriftBooks® logo are registered trademarks of Thrift Books Global, LLC
GoDaddy Verified and Secured