Skip to content
Scan a barcode
Scan
Paperback Sudi na shada sokoni [Swahili] Book

ISBN: 9966642404

ISBN13: 9789966642400

Sudi na shada sokoni [Swahili]

Masomo ya Ijumaa yanapokamilika katika shule ya msingi ya Mwangaza,

mwalimu anawapa Sudi, Shada na wanafunzi wenzao wa gredi ya tatu

kazi ya ziada. Mwalimu anawaagiza kuwa wakati wa wikendi waende

sokoni ili kufanya kazi hiyo. Je, Sudi na Shada wanapoenda sokoni

wanapata yepi huko?


Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo

zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza

ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha

uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha

na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo

yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.

Recommended

Format: Paperback

Temporarily Unavailable

We receive fewer than 1 copy every 6 months.

Related Subjects

Fiction Teen & Young Adult

Customer Reviews

0 rating
Copyright © 2025 Thriftbooks.com Terms of Use | Privacy Policy | Do Not Sell/Share My Personal Information | Cookie Policy | Cookie Preferences | Accessibility Statement
ThriftBooks ® and the ThriftBooks ® logo are registered trademarks of Thrift Books Global, LLC
GoDaddy Verified and Secured