Nuru ya Kifasihi ni kitabu ambacho kimepatiana maswali anuwai ya fasihi simulizi na fasihi andishi. Vipera vyote vya fasihi vimepambanuliwa kupitia maswali yaliyoko kwenye kitabu hiki. Mwandishi aidha ametumia mashairi yake mwenyewe kukurahisishia usomi wako. KItabu ni kizuri wakati wa kudurusu na wakati wa utafiti wako wa kibinafsi. Kitabu ni rahisi kutumia kwa yeyote anayeanzia usomi wa lugha ya kiswahili na pia yule amekubuhu katika lugha hii ya Kiswahili.
ThriftBooks sells millions of used books at the lowest everyday prices. We personally assess every book's quality and offer rare, out-of-print treasures. We deliver the joy of reading in recyclable packaging with free standard shipping on US orders over $20. ThriftBooks.com. Read more. Spend less.