Skip to content
Scan a barcode
Scan
Paperback Mtu Anayetafuta Baraka za Kweli(Swahili Edition) [Swahili] Book

ISBN: B0CLRHT2M7

ISBN13: 9791126312290

Mtu Anayetafuta Baraka za Kweli(Swahili Edition) [Swahili]

Tukitimiza Maneno katika Heri, hatutafurahia tu baraka zote za ulimwengu huu peke yake, kama vile mali, afya, umaarufu, mamlaka, na amani katika jamaa, bali pia tutapata Yerusalemu Mpya kati ya makao mengi ya mbinguni. Baraka inayotolewa na Mungu haiwezi kutingiswa katika aina yoyote ya mambo magumu. Tukitimiza Heri tu peke yake, hatutakuwa na upungufu wowote. Ninaomba kwamba, kupitia kwa hiki kitabu, watu wengi watabadilika na wawe watu wa roho wanaotafuta baraka za kweli na wapokee baraka zote zilizotayarishwa na Mungu. Ninamshukuru Geumsun Vin, mkurugenzi wa halmashauri ya uhariri na wafanyakazi wote.


Recommended

Format: Paperback

Condition: New

$12.15
Save $0.85!
List Price $13.00
50 Available
Ships within 2-3 days

Customer Reviews

0 rating
Copyright © 2025 Thriftbooks.com Terms of Use | Privacy Policy | Do Not Sell/Share My Personal Information | Cookie Policy | Cookie Preferences | Accessibility Statement
ThriftBooks ® and the ThriftBooks ® logo are registered trademarks of Thrift Books Global, LLC
GoDaddy Verified and Secured