Skip to content
Scan a barcode
Scan
Paperback Mikono ya Gondi [Swahili] Book

ISBN: 996636224X

ISBN13: 9789966362247

Mikono ya Gondi [Swahili]

Mikono ya Gondi ni kimoja cha vitabu vya hadithi katika

msururu wa Little Birds ECDE kinachoangazia hadithi za mbinu

za kuishi. Kimetungwa ili kuwasaidia watoto kujifunza usafi.

Yaliyomo ni pamoja na jinsi ya kutumia choo vyema, kunawa

mikono unapotoka chooni na matumizi mema ya hanchifu.

Lengo la msururu huu ni kuhimiza usomaji miongoni mwa

watoto. Msamiati uliotumiwa kuandika hadithi hizi ni rahisi na

wa kawaida. Picha na michoro maridadi na ya kupendeza

imetumiwa ambayo inaifanya hadithi iwe ya kupendeza na

kufurahisha. Hii itasaidia kuwachochea watoto kujadili

yaliyomo wanaposoma.

Recommended

Format: Paperback

Temporarily Unavailable

We receive fewer than 1 copy every 6 months.

Related Subjects

Fiction Teen & Young Adult

Customer Reviews

0 rating
Copyright © 2026 Thriftbooks.com Terms of Use | Privacy Policy | Do Not Sell/Share My Personal Information | Cookie Policy | Cookie Preferences | Accessibility Statement
ThriftBooks® and the ThriftBooks® logo are registered trademarks of Thrift Books Global, LLC
GoDaddy Verified and Secured