Skip to content
Scan a barcode
Scan
Paperback Maswali na Majibu [Swahili] Book

ISBN: 1326284177

ISBN13: 9781326284176

Maswali na Majibu [Swahili]

Wakati wa miaka hiyo ishirini alikuwa akiulizwa maswali mengi kutoka katika Biblia na maswali mengine yalitokana na imani zao kulingana na mafundisho, baadhi ya maswali yamerudiwa rudiwa kuulizwa. Inafikiriwa kuwa majibu ya maswali haya yatakuwa msaada wa maana sana kwa wengine kwa hiyo kitabu hiki kimeandikiwa ikiwa ni mkusanyiko wa majibu ya maswali ambayo yaliulizwa mara nyingi. Hii siyo njia ya kujaribu kuyajibu maswli yote ya viongozi wa dini, kwa hiyo; soma kitabu kiitwacho Maandiko Magumu kilichoandikwa na Ron Abel. Hiki kitabu kimekusudiwa ili kujibu maswali ya watu wa kawaida.

Recommended

Format: Paperback

Condition: New

$11.34
50 Available
Ships within 2-3 days

Customer Reviews

0 rating
Copyright © 2025 Thriftbooks.com Terms of Use | Privacy Policy | Do Not Sell/Share My Personal Information | Cookie Policy | Cookie Preferences | Accessibility Statement
ThriftBooks ® and the ThriftBooks ® logo are registered trademarks of Thrift Books Global, LLC
GoDaddy Verified and Secured