Skip to content
Scan a barcode
Scan
Paperback Kumtumaini Yesu Book

ISBN: B08CM8QXQ3

ISBN13: 9798664536096

Kumtumaini Yesu

Kitabu hiki, Kumtumaini Yesu, ni mkusanyiko wa mahubiri ya kusisimua yanayochochea matumaini, faraja na ukuaji kiroho kwa kila mtu--mkubwa na mdogo. Hotuba hizi za pekee zilizobadilisha maisha ya watu wengi Afrika na Amerika ya Kaskazini zimejengwa katika Biblia, Agano Jipya. Msomaji anapozisoma atapata muonjo wa kile ambacho kiliwafanya maelfu ya watu waliomsikiliza Mchungaji Christopher Mwashinga akihubiri wafurike kumsikiliza. Ni matumaini yetu kwamba msomaji atapata uzoefu mpya kabisa asomapo mahubiri haya na kufurahia utamu wa Neno la Mungu liwaongozao wanadamu katika kumjua Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo aliyemtuma (Yoh. 17:3).

Recommended

Format: Paperback

Condition: New

$12.26
Ships within 2-3 days
Save to List

Customer Reviews

0 rating
Copyright © 2026 Thriftbooks.com Terms of Use | Privacy Policy | Do Not Sell/Share My Personal Information | Cookie Policy | Cookie Preferences | Accessibility Statement
ThriftBooks® and the ThriftBooks® logo are registered trademarks of Thrift Books Global, LLC
GoDaddy Verified and Secured