Skip to content
Scan a barcode
Scan
Paperback King'ora cha Mwehu [Swahili] Book

ISBN: 9966315470

ISBN13: 9789966315472

King'ora cha Mwehu [Swahili]

King'ora cha Mwehu ni tamthilia inayoangazia matatizo ya

kiuchumi, kisiasa na kijamii yanayotokana na utawala mbaya wa

viongozi wa nchi ya Sifuri. Viongozi hawa hawana chochote wala

lolote la kuwafaidi wananchi au nchi zao. Kinachowaongoza ni

ulafi na kupapia kila kinachopatikana nchini na kudai wana haki

ya kusherehekea utamu wa Keki ya Taifa.Wanafanya hivi huku

wananchi wakiendelea kuumia, kuteseka na kudhalilishwa na

umaskini, njaa, ukosefu wa ajira miongoni mwa matatizo mengi

yaliyokuwapo tangu enzi za kupigania uhuru. Lakini wananchi

hawana njia ya kujinasua. Kila anayesema ng'we, anapata cha

mtema kuni.


Mwehu anapoliza king'ora chake, wengi wanampuuza na kudhani

ni mwehu tu, lakini hoja zake zinapelekea kuzinduka kwa umma.

Bi Kurwa na Mlevi wanajiunga na Mwehu, na hatimaye chachu ya

mabadiliko inakolea. Kumbe jamii inaweza kubadilishwa na

mwehu! Je, mwamko huu utazua kitu gani? Hii ni tamthilia ya

kimapinduzi. Ni kurunzi ya jamii.

Recommended

Format: Paperback

Temporarily Unavailable

We receive fewer than 1 copy every 6 months.

Save to List

Related Subjects

Fiction Teen & Young Adult

Customer Reviews

0 rating
Copyright © 2026 Thriftbooks.com Terms of Use | Privacy Policy | Do Not Sell/Share My Personal Information | Cookie Policy | Cookie Preferences | Accessibility Statement
ThriftBooks ® and the ThriftBooks ® logo are registered trademarks of Thrift Books Global, LLC
GoDaddy Verified and Secured