Skip to content
Scan a barcode
Scan
Paperback Chozi langu litafutwa lini ? [Swahili] Book

ISBN: 1326832298

ISBN13: 9781326832292

Chozi langu litafutwa lini ? [Swahili]

Riwaya hii inahusu unyanyasaji wa kijinsia, ndoa za utotoni, na ukatili katika jamii ya Kiafrika. Inaelezea kwa undani namna changamoto hizi zinavyoathiri maisha ya wasichana na wanawake. Mhusika mkuu ambaye ni msichana mdogo, anakabiliana na maisha ya dhuluma, ukosefu wa haki, na shinikizo la kuolewa akiwa bado mtoto, hali inayozuia maendeleo yake ya kielimu na ndoto zake. Katika riwaya hii, mhusika mkuu anaonyeshwa akikumbana na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa wanaume wakubwa au hata watu wa karibu katika jamii, hali inayomuacha na makovu ya kimwili na kiakili. Pia, jamii inaonekana kushindwa kumsapoti, huku sheria na haki zikionekana kutotenda haki kwa wanawake na wasichana wanaokandamizwa. Riwaya hii inabainisha changamoto wanazopitia wasichana wanaolazimishwa kuolewa wakiwa watoto, mara nyingi kutokana na umaskini au mila potofu zinazoendelezwa kizazi baada ya kizazi. Athari za ndoa hizi zinaonekana katika afya yao, elimu, na uwezo wa kujikomboa kiuchumi na kiakili.

Recommended

Format: Paperback

Condition: New

$16.95
Ships within 2-3 days
Save to List

Customer Reviews

0 rating
Copyright © 2026 Thriftbooks.com Terms of Use | Privacy Policy | Do Not Sell/Share My Personal Information | Cookie Policy | Cookie Preferences | Accessibility Statement
ThriftBooks ® and the ThriftBooks ® logo are registered trademarks of Thrift Books Global, LLC
GoDaddy Verified and Secured