ANDAMO: Msafiri Safarini ni diwani ya kwanza kuchapishwa na mshairi wa Kiswahili, Mohammed Khelef Ghassani, mzawa wa Zanzibar anayeishi na kufanya kazi nchini Ujerumani. Ndani yake ni muakisiko wa safari yake ya ukuwaji baina ya muongo wa mwisho wa 1990 na muongo wa kwanza wa 2000. Kuisoma diwani hii ni kuyasoma maisha yake na yale yaliyomuandama, naye kuyaandama katika umri huo.
ThriftBooks sells millions of used books at the lowest
everyday prices. We personally assess every book's quality and offer rare, out-of-print treasures. We
deliver the joy of reading in recyclable packaging with free standard shipping on US orders over $15.
ThriftBooks.com. Read more. Spend less.