Skip to content
Scan a barcode
Scan
Paperback AMKA, ISRAELI(Swahili Edition) [Swahili] Book

ISBN: B0CWCD5BZF

ISBN13: 9791126312566

AMKA, ISRAELI(Swahili Edition) [Swahili]

Wakati Israeli ilipoamini neno la Mungu na kuenenda kulingana na mapenzi yake katika utiifu, ilifurahia utukufu na heshima kuu juu ya mataifa yote. Hata hivyo, wakati ilipoenda mbali na Mungu na kukosa kumtii, Israeli iliwekwa katika mateso aina nyingi, yakijumuisha uvamizi wa mataifa ya kigeni, na watu wake kulazimishwa kuishi kama watu wasiokuwa na kwao katika kila pembe za dunia.Hata wakati Israeli ilipokabiliwa na mambo magumu kwa sababu ya dhambi zao, hata hivyo, Mungu hajawahi kuwaacha au kuwasahau. Siku zote Israeli ilifungwa kwa Mungu kupitia kwa agano lake na Abrahamu na Mungu hakukoma kuwafanyia mambo.


Recommended

Format: Paperback

Condition: New

$12.03
Save $0.97!
List Price $13.00
Ships within 2-3 days
Save to List

Customer Reviews

0 rating
Copyright © 2026 Thriftbooks.com Terms of Use | Privacy Policy | Do Not Sell/Share My Personal Information | Cookie Policy | Cookie Preferences | Accessibility Statement
ThriftBooks ® and the ThriftBooks ® logo are registered trademarks of Thrift Books Global, LLC
GoDaddy Verified and Secured