Skip to content
Scan a barcode
Scan
Paperback Usalama Barabarani [Swahili] Book

ISBN: 9966472150

ISBN13: 9789966472151

Usalama Barabarani [Swahili]

Idadi ya watu wanaokufa kila mwaka nchini Kenya kutokana na ajali za barabarani ni kubwa mno, kiasi kwamba ni lazima kila mtu ahusishwe katika kulitafutia tatizo hili suluhisho. Kitabu hiki kinaangazia mambo fulani yanayohusu usalama barabarani kwa lugha nyepesi. Kinaeleza juu ya njia bora za kutumia barabara kwa watembeaji kwa miguu, abiria, waendeshaji baisikeli na madereva wa magari; kile kinachosababisha ajali za barabarani na jinsi ya kuepukana nazo; huduma ya kwanza na vilevile jinsi ya kutekeleza kanuni za sheria za barabarani. Maelezo haya ni yenye manufaa makubwa kwa wanafunzi na watu wazima vilevile.

Recommended

Format: Paperback

Condition: New

$17.37
Ships within 2-3 days
Save to List

Related Subjects

Teen & Young Adult

Customer Reviews

0 rating
Copyright © 2026 Thriftbooks.com Terms of Use | Privacy Policy | Do Not Sell/Share My Personal Information | Cookie Policy | Cookie Preferences | Accessibility Statement
ThriftBooks ® and the ThriftBooks ® logo are registered trademarks of Thrift Books Global, LLC
GoDaddy Verified and Secured